RAIS SAMIA APELEKA MAFANIKIO LUKUKI SIMIYU


 Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Anamlingi Macha akizungumza na vyombo vya habari katika Ukumbi wa Idara ya Habari MAELEZO jijini Dodoma Julai 18, 2025, kuhusu mafanikio ya mkoa huo katika miaka minne ya Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan.

Mkurugenzi Msaidizi wa Dijitali wa Idara ya Habari MAELEZO, Kelvin Kanje akitoa neno la kumkaribisha Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Macha kuzungumza na vyombo vya habari.

Waandishi wa habari wakiwa katika mkitano huo.

Kanje akiwa na baadhi ya maafisa wa alioambatana nao Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Macha.

 

IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA 
MSIMAMIZI MKUU 
KAMANDA WA MATUKIO ONLINE TV 
0754264203

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

DUNIA NI KATILI SANA KWA MWANAUME MASIKINI

MWANAUME USIPITWE NA HILI, INASIKITISHA...?!!!

HUYU NDIYE MWANAMKE WA KUOA

DIARRA KIPA BORA TANZANIA

CHINYELE ACHUKUA FOMU KUOMBA RIDHAA YA KUGOMBEA UBUNGE DODOMA MJINI

MAKUNDI YA VILABU VINAVYOSHIRIKI KOMBE LA DUNIA 2025.