ACHANENI NA WAHUNI WANAOPOTOSHA MAMBO MAZURI YANAYOFANYWA NA DKT. SAMIA-CHATANDA

Cheche za Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake wa Chama Cha Mapinduzi Tanzania (UWT) Ndg. Mary Pius Chatanda (MCC) alipokuwa akizundua Kampeni za CCM katika Jimbo la Mkuranga Mkoani Pwani, Kampeni  zilizofanyika katika Uwanja wa Kipala Mwandege leo tarehe 06 Septemba, 2025.

Mwenyekiti Chatanda amewataka wananchi wa Wilaya ya Mkuranga na watanzania kwa ujumla kupuuza wapotoshaji wanaobeza maendeleo yanayofanywa na Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuwa hawana hoja za msingi

*Oktoba tunatiki, tunatiki, tunatiki, tunatiki t









 

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

NENO KUNTU LA UMMY MWALIMU ALILOLITOA BAADA YA KUTEMWA KUGOMBEA UBUNGE

WAGOMBEA WALIOENGULIWA CCM LICHA YA KUONGOZA KURA ZA MAONI

CHONGOLO AMKUMBUKA DKT. ASHA-ROSE MIGIRO-

RC KIHONGOSI AELEZA MAFANIKIO LUKUKI MKOA ARUSHA

WALIOKUWA WABUNGE WALIOPITIWA NA MKASI WA WAJUMBE