CHATANDA KUZINDUA KAMPENI MKURANGA


 

Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake wa Chama Cha Mapinduzi Tanzania (UWT) Ndg. Mary Pius Chatanda (MCC), kesho Tarehe 06 Septemba, 2025, atashiriki na kuwa Mgeni Rasmi kwenye Uzinduzi wa Kampeni ndani ya Jimbo la Mkuranga Mkoani Pwani Uzinduzi utakaofanyika katika Viwanja vya Kipala Mwandege, Wananchi wote mnakaribishwa.


*Oktoba tunatiki, tunatiki, tunatiki, tunatiki tenaaaaa ✅✅✅*


#OktobaTunatiki

#WanawakeJeshiDktSamianaDkMwinyi

#KazinaUtuTunasongambele

#UWTupdatesUchaguzi

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

NENO KUNTU LA UMMY MWALIMU ALILOLITOA BAADA YA KUTEMWA KUGOMBEA UBUNGE

WAGOMBEA WALIOENGULIWA CCM LICHA YA KUONGOZA KURA ZA MAONI

WALIOKUWA WABUNGE WALIOPITIWA NA MKASI WA WAJUMBE

CHONGOLO AMKUMBUKA DKT. ASHA-ROSE MIGIRO-

RC KIHONGOSI AELEZA MAFANIKIO LUKUKI MKOA ARUSHA

SPIKA MSTAAFU NDUGAI AFARIKI DUNIA