DKT. SAMIA AAHIDI KUJENGA CHUO CHA UHASIBU SONGEA


 Na Richard Mwaikenda, Songea

Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ameahidi kujenga Chuo Cha Uhasibu Kampasi ya Arusha mkoani Ruvuma


Rais Dkt. Samia ametoa ahadi hiyo alipokuwa akijinadi katika mkutano wa Kampeni za CCM kwenye viwanja vya Chuo Cha Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA) Songea Mjini leo Septemba 22, 2025.


Amesema kuwa ujenzi wa Chuo hicho ukikamilika Chuo kitakuwa na uwezo kuchukua kwa mkipuo zaidi ya wanafunzi 10,000, hivyo wana Ruvuma wajiandae kuwa wahasibu.  

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

NENO KUNTU LA UMMY MWALIMU ALILOLITOA BAADA YA KUTEMWA KUGOMBEA UBUNGE

WAGOMBEA WALIOENGULIWA CCM LICHA YA KUONGOZA KURA ZA MAONI

CHONGOLO AMKUMBUKA DKT. ASHA-ROSE MIGIRO-

MBINU ZITAKAZOKUFANYA USIISHIWE PESA

DKT. MIGIRO AKIWASHA KAMPENI ZA DKT. SAMIA MAKAMBAKO

LEO NI LEO KAMPENI ZA DKT. SAMIA SONGWE