KIGOGO WA CHADEMA AHAMIA CCM

Mgombea wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa Ndugu Dkt. Samia Suluhu Hassan akimshukuru Aliyekuwa Mwenyekiti wa Chadema katika Jimbo la Lindi Salum Khalfani Bar'wani mara baada ya kujiunga rasmi na CCM katika muendelezo wa Kampeni za Uchaguzi kwa Chama hicho, mkoani Lindi tarehe 25 Septemba, 2025.


 Aliyekuwa Mwenyekiti wa Chadema katika Jimbo la Lindi Ndugu Salum Khalfani Bar'wani akizungumza na wananchi mara baada ya kujiunga rasmi na Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika muendelezo wa Kampeni za Uchaguzi kwa CCM, mkoani Lindi tarehe 25 Septemba, 2025.


Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

DKT.NCHIMBI ATUA RASMI SONGEA KUSAKA KURA ZA CCM

DKT. SAMIA AAHIDI KUJENGA CHUO CHA UHASIBU SONGEA

RAIS SAMIA AMZAWADIA NYUMBA SIMBU