KIGOGO WA CHADEMA AHAMIA CCM

Mgombea wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa Ndugu Dkt. Samia Suluhu Hassan akimshukuru Aliyekuwa Mwenyekiti wa Chadema katika Jimbo la Lindi Salum Khalfani Bar'wani mara baada ya kujiunga rasmi na CCM katika muendelezo wa Kampeni za Uchaguzi kwa Chama hicho, mkoani Lindi tarehe 25 Septemba, 2025.


 Aliyekuwa Mwenyekiti wa Chadema katika Jimbo la Lindi Ndugu Salum Khalfani Bar'wani akizungumza na wananchi mara baada ya kujiunga rasmi na Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika muendelezo wa Kampeni za Uchaguzi kwa CCM, mkoani Lindi tarehe 25 Septemba, 2025.


Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MBINU ZITAKAZOKUFANYA USIISHIWE PESA

DKT. MIGIRO AKIWASHA KAMPENI ZA DKT. SAMIA MAKAMBAKO

LEO NI LEO KAMPENI ZA DKT. SAMIA SONGWE

NENO KUNTU LA UMMY MWALIMU ALILOLITOA BAADA YA KUTEMWA KUGOMBEA UBUNGE

WAGOMBEA WALIOENGULIWA CCM LICHA YA KUONGOZA KURA ZA MAONI

CHONGOLO AMKUMBUKA DKT. ASHA-ROSE MIGIRO-