TAARIFA YA MAPATO NA MATUMIZI KWA MWAKA WA FEDHA 2024/2025

TAARIFA YA MAPATO NA MATUMIZI KWA MWAKA WA FEDHA 2024/2025 IKISOMWA NA MAKAMU WA RAIS KLABU YA YANGA @arafat__ah 


MAPATO (Kiasi TZS)
 • Udhamini na Haki za Matangazo: 10,391,335,340
 • Mapato ya Mlangoni: 1,667,548,655
 • Ada za Uanachama: 1,119,309,815
 • Zawadi za Ushindi: 3,089,967,800
 • Mapato Mengine: 9,428,957,700

Jumla ya Mapato: 25,697,119,110

MATUMIZI (Kiasi TZS)
 • Mishahara na Marupurupu Mengine: 8,046,583,496
 • Gharama za Usajili na Uhamisho wa Wachezaji: 5,138,824,722
 • Gharama za Usafirishaji wa Nchi, Usafiri, Chakula na Malazi: 8,710,460,500
 • Posho kwa Wachezaji na Benchi la Ufundi: 1,607,476,044
 • Michango ya Kisheria: 1,600,970,218
 • Gharama za Utawala: 533,146,560
 • Gharama za Kamati: 412,145,540
 • Gharama za Kusifu: 239,140,000
 • Gharama za Kiducho: 1,253,527,832

Jumla ya Matumizi: 25,389,959,912

BAKAA: 307,149,198




 

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

NENO KUNTU LA UMMY MWALIMU ALILOLITOA BAADA YA KUTEMWA KUGOMBEA UBUNGE

WAGOMBEA WALIOENGULIWA CCM LICHA YA KUONGOZA KURA ZA MAONI

CHONGOLO AMKUMBUKA DKT. ASHA-ROSE MIGIRO-

RC KIHONGOSI AELEZA MAFANIKIO LUKUKI MKOA ARUSHA

WALIOKUWA WABUNGE WALIOPITIWA NA MKASI WA WAJUMBE

MBINU ZITAKAZOKUFANYA USIISHIWE PESA