BALOZI MIGIRO AKUTANA NA JOPO LA WAANGALIZI WA UCHAGUZI MKUU WA UMOJA WA AFRIKA

 

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Asha-Rose Migiro, amekutana na Mhe. Mokgweetsi Eric Kaebetswe Masisi, Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Botswana na Mkuu wa Misheni ya Uangalizi wa Uchaguzi kutoka Umoja wa Afrika (AU). Mazungumzo yao yamehusu maandalizi ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania unaotarajiwa kufanyika tarehe 29 Oktoba 2025.

Jopo la Waangalizi wa Uchaguzi kutoka Umoja wa Afrika lipo nchini kufuatilia hatua za maandalizi ya uchaguzi huu wa saba tangu kuanzishwa kwa mfumo wa vyama vingi miongo mitatu iliyopita. 







 

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

RAIS SAMIA SIO RAIS JOYCE BANDA WA MALAWI, TANZANIA SIO KENYA

RAIS SAMIA AMZAWADIA NYUMBA SIMBU

IJUE HISTORIA YA PACOME ZOUZOUA