DKT. MWINYI, MAJALIWA WALIVYOTINGA KATIKA KAMPENI ZA DKT. SAMIA ZANZIBAR

MGOMBEA Urais wa Zanzibar kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Hussein Ali Mwinyi na Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM, Kassim Majaliwa wakiingia katika mkutano wa kampeni za CCM kwenye viwanja vya Mnazi Mmoja Unguja, Zanzibar Oktoba 24,2025.

Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CCM, Dkt Samia Suluhu Hassan anafunga kampeni zake leo kwa upande wa Zanzibar. Kwa upande wa Tanzania Bara atafungia Jijini Mwanza.
Kassim Majaliwa.

Dkt Hussein Ali Mwinyi.


 

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

KIGOGO WA CHADEMA AHAMIA CCM

RAIS SAMIA SIO RAIS JOYCE BANDA WA MALAWI, TANZANIA SIO KENYA

RAIS SAMIA AMZAWADIA NYUMBA SIMBU