DKT. SAMIA, USIOGOPE UWT TUTAKUHESHIMISHA OKTOBA 29 - CHATANDA


Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake wa Chama Cha Mapinduzi (UWT) Taifa, Ndugu Mary Pius Chatanda (MCC), amemhakikishia Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa CCM, Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, kuwa wanawake nchini wako tayari kumpa kura za kishindo katika uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba 29, 2025.

Chatanda ameyasema hayo wakati wa mkutano wa kampeni uliofanyika katika Uwanja wa Buza Tanesco Jijini Dar es Salaam, Oktoba 23, 2025.





 

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

KIGOGO WA CHADEMA AHAMIA CCM

RAIS SAMIA SIO RAIS JOYCE BANDA WA MALAWI, TANZANIA SIO KENYA

RAIS SAMIA AMZAWADIA NYUMBA SIMBU