DKT.NCHIMBI AHITIMISHA MIKUTANO YAKE YA KAMPENI,UKEREWE JIJINI MWANZA.

 

PICHA mbalimbali za Mgombea mwenza wa Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi akiwahutubia Wananchi katika uwanja wa Gertrude Mongella Wilaya ya Ukerewe Mkoa wa Mwanza leo Oktoba 25, 2025. Mkutano ndiyo wa mwisho kwa Dkt Nchimbi kabla ya uchaguzi mkuu Oktoba 29,2025.






Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

RAIS SAMIA SIO RAIS JOYCE BANDA WA MALAWI, TANZANIA SIO KENYA

KIGOGO WA CHADEMA AHAMIA CCM

RAIS SAMIA AMZAWADIA NYUMBA SIMBU