PICHA mbalimbali za Mgombea mwenza wa Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi akiwahutubia Wananchi katika uwanja wa Gertrude Mongella Wilaya ya Ukerewe Mkoa wa Mwanza leo Oktoba 25, 2025. Mkutano ndiyo wa mwisho kwa Dkt Nchimbi kabla ya uchaguzi mkuu Oktoba 29,2025.






Comments