Mgombea mwenza wa Urais katika nafasi ya Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CCM, Dkt. Emmanuel John Nchimbi, amesema kuwa kwa imani pekee aliyoionesha kwake Mgombea Urais wa Tanzania kupitia CCM, Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan amemhakikishia kuwa namna pekee anayoweza kuilipa ni kumsaidia kwa nguvu, akili, maarifa na uaminifu ili ndoto na maono yake na utekelezaji wa ilani ya CCM (2025/30) ufanyike kwa mafanikio makubwa katika miaka mitano ijayo.
"Nakushukuru sana Mgombea Urais wa Tanzania kupitia chama chetu cha CCM kwa imani yako kubwa kwangu kwa kunipendekeza kuwa msaidizi wako mkuu, miaka minne iliyopita uliniteua kuwa Balozi wa Tanzania nchini Misiri, badae ukanipendekeza kupitia vikao vya Halmshauri Kuu ya CCM Taifa kuwa Katibu Mkuu wa CCM na sasa umeniamini katika nafasi ya Mgombea Mwenza"
"..ndani ya miaka minne umeonesha imani yako kwangu kwa kunipa nafasi muhimu ndani ya Taifa letu na ndani ya CCM.."
"..nakuhakikishia kuwa imani uliyoonesha, namna pekee ninayoweza kuilipa ni kukusaidia kwa nguvu, akili, maarifa na uaminifu ili ndoto na maono yako na utekelezaji wa ilani yetu ya CCM (2025/30) ufanyike kwa mafanikio makubwa katika miaka mitano ijayo."
"Watanzania katika sehemu zote tulizopita wameridhika na utekelezaji wako wa ilani ya uchaguzi ya mwaka 2020/25 kwa kishindo na wametutuma tukueleze kuwa kesho watakupa kura nyingi za ushindi wa kishindo"
"..hilo linatokana na utendaji kazi wako katika Serikali ya awamia ya sita unayoiongoza inayotakana na Chama Cha Mapinduzi (CCM).."
Hayo yamesemwa na Mgombea mweza wa Urais katika nafasi ya Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CCM, Ndugu. Dkt. Emmanuel John Nchimbi, wakati akizungumza mbele ya umati wa Wananchi wa Mwanza na maeneo ya karibu katika mkutano wa kuhitimisha Kampeni za Uchaguzi za CCM, leo tarehe 28 Oktoba 2025.
MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA
1. Wahiraki, Hawa ni wanawake wa jamii ya Wahiraki wa napatikana kaskazini mwa Tanzania wamezagaa mikoa ya manyara ni weupe Wana Umbo zuri wanavutia kwa Macho. 2. Warangi, Hawa ni wanawake jamii ya Warangi ni wazuri nywele zao ni asili ya waraabu weupe sura nzuri wanapatikana kondoa. 3. Wanyiramba. Hawa ni warembo Sana sura matata wanapatikana mkoa wa singida kaskazini, usipokua makini utawafananisha na wanyaturu 4. Wamasai, kabila hili wanawake wazuri sio wengi Sana lakini ukikutana na sampuli Tatu au nne hivi utauza hata boxa kuongezea mahari wamezagaa Sana Arusha 5. Wahaya, hawa nao ni jamii ya Kanda ya ziwa maumbile Yao Kuna weupe miguu Yao ya bia shape matata wamejaa Sana bukoba. 6. Wanyaturu, Hawa wanafanana na Wanyiramba wanapatikana singida hasa ikungi na manyoni weupe wanavutia 7. Wapare, Hii ni jamii ya kabila la Wapare wanapatikana moshi wilaya ya same wako vizuri usicheze kabisa na hili kabila shape nzuri. 8 .Wamakonde, ...

Comments