KUOA NI HAYATI DUNIANI -ELON MUSKYA SASA



Tajiri namba Moja Duniani, Elon Musk amewashangaza mashabiki wake kwa kauli yake ya kushtua kuhusu ndoa, 


Elon musk amesema, 


Siwezi kufanya kosa la kuoa. Nikiamua kumuoa mwanamke yeyote sasa hivi, ataniacha tu ili apate nusu ya mali yangu.


Katika maelezo yake ya wazi kabisa, Elon alisema kuwa mapenzi ni hadithi ya kufikirika na kwamba uhusiano wa kisasa unategemea zaidi maslahi ya kifedha kuliko upendo wa kweli. Aliongeza kuwa talaka siku hizi imekuwa kama “mbinu ya biashara” kwa wanawake wengi. 


Kwa mujibu wa Musk, endapo angeoa kisha akaachika, angeweza kupoteza zaidi ya dola bilioni 250, nusu ya utajiri wake. Badala yake, amesema ameamua kuchagua amani, kazi, na uhuru kuliko mapenzi. 


FUNZO: Katika dunia ambapo mapenzi yanaweza kubadilika kuwa kesi ya mahakamani, wakati mwingine utulivu wa moyo ni bora kuliko kuwa na mwenza. 

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

RAIS SAMIA SIO RAIS JOYCE BANDA WA MALAWI, TANZANIA SIO KENYA

MJUE VIZURI KOCHA MPYA WA YANGA PEDRO

IJUE HISTORIA YA PACOME ZOUZOUA

BALOZI MIGIRO AKUTANA NA JOPO LA WAANGALIZI WA UCHAGUZI MKUU WA UMOJA WA AFRIKA