MAMBO NI MAMBO KAMPENI ZA DKT. SAMIA MNAZI MMOJA ZANZIBAR

Wananchi wakiwa katika mkutano wa kampeni za Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwenye viwanja vya Mnazi Mmoja, Unguja Zanzibar leo Oktoba 24, 2025.

Dkt. Samia anafunga kampeni zake kwa upande Zanzibar na kwa upande wa Tanzania Bara atafunga jijini Mwanza. Mwisho wa kampeni za uchaguzi Mkuu 2025 itakuwa Jumanne Oktoba 28 ambapo Uchaguzi Mkuu itakuwa Jumatano Oktoba 29.
















 

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

RAIS SAMIA SIO RAIS JOYCE BANDA WA MALAWI, TANZANIA SIO KENYA

KIGOGO WA CHADEMA AHAMIA CCM

RAIS SAMIA AMZAWADIA NYUMBA SIMBU