MAMBO YAMEKUWA MAMBO KAMPENI ZA DKT. SAMIA KINYEREZI ILALA DAR

Shamra Shamra, nderemo vikiwa  vimetawala katika mkutano wa kampeni za Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan katika eneo la Kinyerezi, Wilaya ya Ilala jijini Dar es Salaam leo Oktoba 22, 2025. Mkutano huo umeshirikisha wananchi wa majimbo manne ya Ilala, Ukonga, Segerea na Kivule.

Dkt. Samia katika kampeni zake amekuwa akiwaomba wananchi kujitokeza kwa wingi kwenda kupiga kura bila woga Oktoba 29, 2025, akiwahakikishia usalama wa kutosha na kwamba atakayediriki kusababisha vurugu atakiona na moto, kwani vyombo vya ulinzi na usalama viko imara. 











 

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

KIGOGO WA CHADEMA AHAMIA CCM

RAIS SAMIA SIO RAIS JOYCE BANDA WA MALAWI, TANZANIA SIO KENYA

RAIS SAMIA AMZAWADIA NYUMBA SIMBU