MAMBO YAMEPAMBA MOTO KAMPENI ZA DKT. SAMIA LEADERS CLUB DAR

Shamra Shamra, nderemo vikiwa  vimetawala kwenye Uwanja wa Leaders Club Kinondoni Dar es Salaam katika mkutano wa kampeni za Mgombea Urais wa Jamhuri y Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan leo Oktoba 21, 2025.

Dkt. Samia katika kampeni zake amekuwa akiwaomba wananchi kujitokeza kwa wingi kwenda kupiga kura bila woga Oktoba 29, 2025, akiwahakikishia usalama wa kutosha na kwamba atakayediriki kusababisha vurugu atakiona na moto, kwani vyombo vya ulinzi na usalama viko imara. 



















Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

KIGOGO WA CHADEMA AHAMIA CCM

RAIS SAMIA SIO RAIS JOYCE BANDA WA MALAWI, TANZANIA SIO KENYA

DKT. SAMIA AAHIDI KUJENGA CHUO CHA UHASIBU SONGEA