VIJANA WA HAMASA WA ILEMELA WAAHIDI KUMPIGIA KURA DKT. SAMIA

 Vijana wa hamasa kutoka Wilaya ya Ilemela jijini Mwanza, wakionesha furaha yao katika mkutano  wa kuhitimisha Kampeni za Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzani kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwenye Uwanja wa CCM Kirumba Oktoba 28, 2025.


Vijana hao wameahidi kesho kutiki kwa Dkt. Samia, wabunge na madiwani.








 IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA -0754264203

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

RAIS SAMIA SIO RAIS JOYCE BANDA WA MALAWI, TANZANIA SIO KENYA

MJUE VIZURI KOCHA MPYA WA YANGA PEDRO

IJUE HISTORIA YA PACOME ZOUZOUA