ZAIDI ya Watu milioni 57 wamefuatilia kampeni za Chama Cha Mapinduzi CCM kupitia vyombo vya habari na mitandao ya kijamii ndani na nje ya nchi.
Namba za kimtandao zinaonesha kuwa Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CCM Rais Dk. Samia Suluhu Hassan katika kipindi cha kampeni amefuatiliwa mara milioni 164.9. Hii inadhihirisha ukubwa wa CCM lakini kukubalika kwa mgombea huyo.
Hayo yamelezwa na Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM, Kenani Kihongosi alipokuwa akitoa tathmini na mrejeshi wa kampeni hizo kwenye ujumbi wa BOT jijini Mwanza leo Oktoba 27, 2025.
Pia, alisema mamilioni ya Watanzania walijumuika na CCM katika kampeni kwani Chama kinajivunia ukuaji wa teknolojia ya mawasiliano kwani imekuwa rahisi idadi kubwa ya watu kufikiwa.
Aidha, Kihongosi amesema kuwa waliotufuatilia kupitia redio, televisheni, magazeti, mitandao na simu, kompyuta na vifaa vingine vya kidigitali ndani ya vyombo vya usafiri vibanda umiza.
"Mgombea wetu wameshafanya mikutano zaidi ya 114 ya kampeni yote imekuwa na mafanikio makubwa viwanjani. Msafara wa mgombea wetu Dk. Samia umeweza kusimamishwa maeneo mengi.
"Wananchi wakiwa na shauku ya kumuona mgombea, kumsikiliza na yeye hakusita kuweza kuzungumza na Watanzania pindi alipokuwa akisimamsishwa. Ameonesha utu wa kuwajali watu anaowahudumia na kuwaomba ridhaa."Amesema Kihongosi
MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA
1. Wahiraki, Hawa ni wanawake wa jamii ya Wahiraki wa napatikana kaskazini mwa Tanzania wamezagaa mikoa ya manyara ni weupe Wana Umbo zuri wanavutia kwa Macho. 2. Warangi, Hawa ni wanawake jamii ya Warangi ni wazuri nywele zao ni asili ya waraabu weupe sura nzuri wanapatikana kondoa. 3. Wanyiramba. Hawa ni warembo Sana sura matata wanapatikana mkoa wa singida kaskazini, usipokua makini utawafananisha na wanyaturu 4. Wamasai, kabila hili wanawake wazuri sio wengi Sana lakini ukikutana na sampuli Tatu au nne hivi utauza hata boxa kuongezea mahari wamezagaa Sana Arusha 5. Wahaya, hawa nao ni jamii ya Kanda ya ziwa maumbile Yao Kuna weupe miguu Yao ya bia shape matata wamejaa Sana bukoba. 6. Wanyaturu, Hawa wanafanana na Wanyiramba wanapatikana singida hasa ikungi na manyoni weupe wanavutia 7. Wapare, Hii ni jamii ya kabila la Wapare wanapatikana moshi wilaya ya same wako vizuri usicheze kabisa na hili kabila shape nzuri. 8 .Wamakonde, ...

Comments