SPIKA ZUNGU AFUNGUA MAFUNZO KWA WABUNGE


Mafunzo hayo ya siku tano yanalenga kuwajengea uwezo Waheshimiwa Wabunge kuhusu masuala mbalimbali ikiwemo Uendeshaji wa Shughuli za Bunge, Umuhimu wa Kamati za Bunge katika kufanikisha Shughuli za Bunge na Maadili ya Viongozi.

Masuala mengine ni kuhusu Haki na Wajibu wa Wabunge, Diplomasia na Itifaki za Kibunge pamoja na Mahusiano ya kazi baina ya Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) na Bunge.













 

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

VITU 10 WANAUME WANAVYOPENDA ZAIDI TOKA KWA MWANAMKE — SIYO SURA, SIYO MWILI ❤️

WALIOCHUKUA FOMU CCM ZA KUWANIA USPIKA HAWA HAPA

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

MATOKEO YA DARASA LA 7 YATANGAZWA

MJUE VIZURI KOCHA MPYA WA YANGA PEDRO

JESHI LA POLISI LATEKELEZA AGIZO LA RAIS SAMIA, LAONDOA KIZUIZI CHA KUTOTOKA NJE BAADA YA SAA 12 JIONI