Ifahamike Marais wote hawa wimbo wao ni mmoja Kumpiga Khamenei tu.
Picha unayo iona hapa ni Mfululizo wa marais wa Marekani kwa miaka tofauti kuanzia mwaka 1989 hadi
2021 - 2026.
Chini kabisa ni Kiongozi Mkuu wa Iran yani Supreme Leader akipeperusha mkono kwa Madaha ya kejeli.
Marais wote hawa walishindwa kumuangusha mtu huyu Hakika
Marekani ni dhaifu dhidi ya uongozi wa Iran.
Kwa nini Marekani haijafanikiwa kumuondoa Ayatollah Ali Khamenei?
Hii ndio hoja ya msingi
Khamenei si Rais Bali Khamenei ni mfumo.
Tofauti na Saddam au Gaddafi.
Khamenei Yuko juu ya
Mbali na kua Mfumo ila ufisadi kwake ni laana hajioni Mungu mtu wala hamuonei mtu, Hachokozi Nchi yoyote.
Hata ukimuua Rais wa Iran
Khamenei na mfumo wake unabaki.
Ana jeshi lake binafsi
IRGC
Ayatollah Khamenei anadhibiti vikosi vya kijeshi kama
Pamoja na
Mtandao wa Hezbollah, Houthis, Syria, Iraq
Hili ni jeshi linalomtii yeye binafsi, si serikali.
Marekani ikitaka vita na Iran haitapigana na mtu mmoja itapigana na mtandao wa kimataifa wa kivita.
Iran si nchi ya Kuivamia Rahisi Rahisi, Iraq ilikuwa rahisi kuvamiwa kwasababu
Iran ina
Kuivamia Iran ni sawa na kuanzisha Vita kubwa zaidi ya WWII
Kumuondoa Khamenei kunamaanisha Marekani inajua
Akifa Khamenei kwa shambulio,
Iran itarusha maelfu ya makombora kwa
Hiyo inaweza kusababisha
Ndiyo maana Marekani wanatumia
vikwazo
Lakini si uvamizi wa moja kwa moja ni kitu hatari sana.
Picha unayoiona ina msingi wa ukweli huu
Ni kwamba kumshinda Khamenei kungegharimu dunia nzima.
Marais wote hawa wa Marekani wamechemka kumudondosha mwamba Khamenei
1) George H. W. Bush
2) Bill Clinton
3) George W. Bush
4) Barack Obama
5) Donald J. Trump
Baki na Mimi kwa Mengi zaidi yanayo jiri Duniani
By Professor Chotara Mweusi Sultan kutoka viunga vya
Bingwa la uchambuzi wa maswala ya kijamii, Uchumi na Siasa za Dunia Yetu.

Comments