RAIS SAMIA AMESAIDIA KUREKEBISHA NDOA KWA KUPELEKA MAJI HADI VIJIJINI - CHATANDA

 Mbunge wa Viti Maalumu, ambaye pia ni Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake wa Chama Cha Mapinduzi Tganzania (UWT), Mary Chatanda amempongeza Rais Samia Suluhu Hassan kwa karama kubwa ya uongozi aliyonayo kwa kutekeleza miradi lukuki ya maendeleo nchini kwa kipindi kifupi cha uongozi wake wa miaka minne.

Ametoa pongezi hizo alipokuwa akichangia hoja kuhusu hotuba aliyoitoa Rais alipokuwa akifungua Bunge Novemba 14, 2025 jijini Dodoma.IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA - 0754264203

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

MIKOA 10 YENYE KIPATO KIKUBWA ZAIDI KWA MTU MMOJA MMOJA

BODABODA ALIPWA PIKIPIKI BAADA KUSAFIRI KWA BODA KWA SAA 10 MBEYA HADI DAR

ASANTE GWIJI YAYA TOURE KWA KUPASUA UKWELI UKWELI KUPENDELEWA KWA MOROCCO

AINA 4 ZA WANAWAKE WASIOWEZA KUDUMISHA NDOA.

CONFIRMED HAWA NDIO WACHEZAJI WETU 12 WA KIGENI 🦾