SPIKA ZUNGU, TULIA WAKUTANA INDIA


Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Mussa Azzan Zungu, akisalimiana na Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani na Mbunge wa Jimbo la Uyole, Mhe. Dkt. Tulia Ackson kabla ya ufunguzi wa Mkutano wa 28 wa Maspika na Wenyeviti wa Bunge wa Jumuiya ya Madola leo tarehe 15 Januari, 2026 Jijini New Delhi nchini India.

 

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

MAPACHA WATATU FAMILIA YA MWAIKENDA WAPATA KIPAIMARA

MVUA KUBWA KUNYESHA MIKOA 20

AINA 4 ZA WANAWAKE WASIOWEZA KUDUMISHA NDOA.

MIKOA 10 YENYE KIPATO KIKUBWA ZAIDI KWA MTU MMOJA MMOJA

IJUE HISTORIA YA MCHEZAJI MZUNGU WA TANZANIA