Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA), CPA Anthony Kasore akizungumza na vyombo vya habari kwenye Ukumbi wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mji Serikali Mtumba jijini Dodoma Februari16, 2026, kuhusu mafanikio ya utekelezaji wa siku 100 wa ahadi zilizotolewa na Rais Samia alipoapishwa Novemba 3, 2025.
Ameishukuru Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan kuipatia vifaa lukuki ya mafunzo pamoja na kuijali Mamlaka hiyo kwa kuipatia wakufunzi hao.
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA), CPA Anthony Kasore
Wanahabari wakiwa katika mkutano huo.
IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA - 0754264203
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA), CPA Anthony Kasore
Wanahabari wakiwa katika mkutano huo.
IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA - 0754264203

Comments