RAIS WA SENEGAL AWAPATIA ZAWADI NONO WACHEZAJI WALIOFANIKISHA UBINGWA WA AFCON 2025

Rais wa Senegal 🇸🇳, Bassirou Diomaye Faye, ametangaza zawadi kubwa kwa timu ya Taifa ya Senegal (Teranga Lions) pamoja na ujumbe wa taifa kufuatia ushindi wao wa AFCON.

Kila mchezaji wa Teranga Lions:
Faranga milioni 75 za CFA
Kiwanja cha ardhi chenye ukubwa wa mita za mraba 1,500
Wajumbe wa Shirikisho la Mpira wa Miguu la Senegal:

Faranga milioni 50 za CFA kila mmoja
Kiwanja cha ardhi chenye ukubwa wa mita za mraba 1,000 kila mmoja

Wajumbe wengine wa ujumbe wa taifa:
Faranga milioni 20 za CFA kila mmoja
Kiwanja cha ardhi chenye ukubwa wa mita za mraba 500 kila mmoja.



 

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

BODABODA ALIPWA PIKIPIKI BAADA KUSAFIRI KWA BODA KWA SAA 10 MBEYA HADI DAR

ASANTE GWIJI YAYA TOURE KWA KUPASUA UKWELI UKWELI KUPENDELEWA KWA MOROCCO

CONFIRMED HAWA NDIO WACHEZAJI WETU 12 WA KIGENI 🦾

NYOMI YA WASENEGALI WAKISHANGILIA UBINGWA WA AFCON 2025

Wasifu wa Kizza Besigye

CCM YAMJIBU BUTIKU CHADEMA KUFUNGIWA

TANZANIA YAPANDA VIWANGO VYA FIFA

SPIKA ZUNGU KUHUDHURIA MKUTANO WA 28 WA MASPIKA WA MABUNGE YA JUMUIYA YA MADOLA IND