SPIKA ZUNGU KUHUDHURIA MKUTANO WA 28 WA MASPIKA WA MABUNGE YA JUMUIYA YA MADOLA IND

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Mussa Azzan Zungu, amewasili katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Indira Gandhi na kupokelewa na Balozi wa India nchini Tanzania, Mhe. Anisa Mbega Januari 14, 2026 Jijini New Delhi nchini India.


Mhe. Spika amefika nchini India kwa ajili ya kushiriki Mkutano wa 28 wa Maspika wa Mabunge ya Jumuiya ya Madola.


Mkutano huo wa siku tatu (3) unategemewa kufunguliwa leo Januari 15, 2026 na Waziri Mkuu wa India, Mhe. Narendra Modi.




 

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

MAPACHA WATATU FAMILIA YA MWAIKENDA WAPATA KIPAIMARA

MVUA KUBWA KUNYESHA MIKOA 20

AINA 4 ZA WANAWAKE WASIOWEZA KUDUMISHA NDOA.

MIKOA 10 YENYE KIPATO KIKUBWA ZAIDI KWA MTU MMOJA MMOJA

IJUE HISTORIA YA MCHEZAJI MZUNGU WA TANZANIA