SPIKA ZUNGU KUHUDHURIA MKUTANO WA 28 WA MASPIKA WA MABUNGE YA JUMUIYA YA MADOLA IND

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Mussa Azzan Zungu, amewasili katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Indira Gandhi na kupokelewa na Balozi wa India nchini Tanzania, Mhe. Anisa Mbega Januari 14, 2026 Jijini New Delhi nchini India.


Mhe. Spika amefika nchini India kwa ajili ya kushiriki Mkutano wa 28 wa Maspika wa Mabunge ya Jumuiya ya Madola.


Mkutano huo wa siku tatu (3) unategemewa kufunguliwa leo Januari 15, 2026 na Waziri Mkuu wa India, Mhe. Narendra Modi.




 

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

BODABODA ALIPWA PIKIPIKI BAADA KUSAFIRI KWA BODA KWA SAA 10 MBEYA HADI DAR

ASANTE GWIJI YAYA TOURE KWA KUPASUA UKWELI UKWELI KUPENDELEWA KWA MOROCCO

CONFIRMED HAWA NDIO WACHEZAJI WETU 12 WA KIGENI 🦾

RAIS WA SENEGAL AWAPATIA ZAWADI NONO WACHEZAJI WALIOFANIKISHA UBINGWA WA AFCON 2025

NYOMI YA WASENEGALI WAKISHANGILIA UBINGWA WA AFCON 2025

Wasifu wa Kizza Besigye

CCM YAMJIBU BUTIKU CHADEMA KUFUNGIWA

TANZANIA YAPANDA VIWANGO VYA FIFA