Mbunge wa Jimbo la Morogoro Kusini, Zubery Yahya Mfaume ameihoji Serikali kwamba lini Serikali itaingilia kati na kudhibiti migogoro ya ardhi kati ya Wakulima na Wawekezaji wa Morogoro Sugar?
Amehoji hilo katika kipindi cha maswali na majibu katika kikao cha Nne, Mkutano wa 3, Bunge la 13 la Bajeti, bungeni Dodoma Aprili 8, 2026..
IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA-0754264203

Comments