CHATANDA ASHIRIKI KIKAO CHA BODI HOSPITALI YA RUFAA DODOMA


Mwenyekiti wa UWT Taifa, Ndg. Mary Pius Chatanda (MCC), leo ameshiriki kikao cha Bodi ya Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Dodoma (General Hospital) tarehe 15 April, 2026.

Chatanda, ambaye pia ni Mjumbe wa Bodi ya hospitali hiyo, anaendelea kutoa mchango wake wa kitaalamu na uongozi katika kuhakikisha huduma za afya mkoani Dodoma zinazidi kuimarika kwa manufaa ya wananchi wote.









 

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

Wasifu wa Kizza Besigye

Kizza Besigye ‘akamatwa’ tena Uganda

KATI YA WATOTO 7 WA HAYATI MAGUFULI ANAYEJULIKANA ZAIDI NI JESCA

AINA 10 ZA WANAWAKE AMBAO BIBLIA INAKUONYA UWAEPUKE

KIKOSI KILICHOITWA TAIFA STARS HIKI HAPA

UBORA UNAONEKANA: BENKI YA NMB YANG'ARA TUZO ZA EUROMONEY 2026

MAJANI YA MAPERA NA MATUMIZI YAKE YA KITIBA

WANAJESHI WAGOMA KWENDA IRAN KUPIGA