DKT. KIKWETE AKUTANA NA RAIS WA SUDAN KUSINI

ALIYEKUWA Rais wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete, ambaye kwa sasa anahudumu kama Mwakilishi Maalum wa Mwenyekiti wa Umoja wa Afrika katika Ukanda wa Pembe ya Afrika na Bahari Nyekundu, siku ya Ijumaa alikutana na Rais wa Sudan Kusini, Salva Kiir Mayardit, mjini Juba, alipokuwa akihitimisha ziara ya ngazi ya juu ya siku mbili nchini humo.

Katika ziara hiyo, alikutana na wadau muhimu wa kitaifa, kikanda na kimataifa katika jitihada za kuirejesha nchi katika hali ya utulivu. Pia alifanya mazungumzo na mawaziri mbalimbali muhimu ili kutathmini maendeleo na changamoto katika utekelezaji wa Mkataba wa Kufufua Amani wa Kutatua Mgogoro wa Sudan Kusini (R-ARCSS) uliosainiwa mwaka 2018.



 

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

Wasifu wa Kizza Besigye

Kizza Besigye ‘akamatwa’ tena Uganda

KATI YA WATOTO 7 WA HAYATI MAGUFULI ANAYEJULIKANA ZAIDI NI JESCA

KIKOSI KILICHOITWA TAIFA STARS HIKI HAPA

AINA 10 ZA WANAWAKE AMBAO BIBLIA INAKUONYA UWAEPUKE

UBORA UNAONEKANA: BENKI YA NMB YANG'ARA TUZO ZA EUROMONEY 2026

MAJANI YA MAPERA NA MATUMIZI YAKE YA KITIBA

WANAJESHI WAGOMA KWENDA IRAN KUPIGA

MCHIMBAJI MDOGO WA DHAHABU AFANYA MAKUBWA KWENYE HUDUMA ZA AFYA