MWALWIBA AMMWAGIA PONGEZI WAZIRI MKUU DKT. MCHEMBA KWA UTATUZI KERO ZA WANANCHI

 Mbunge wa Busokelo, Lutengano Mwalwiba akichangia mambo mbalimbali mjadala wa makadirio ya Bajeti ya Ofisi ya Waziri Mkuu kwa mwaka 2026/27 bungeni Dodoma Aprili 10, 2026, ambapo pamoja na mambo mengine, amewapa pole waathirika wa mafuriko wilayani Rungwe, ameipongeza Tamisemi kwa kazi nzuri ya kutekeleza miradi ya maendeleo pamoja na malengo ya mikopo kwa wananchi.


Aidha, amempongeza Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Mchemba kwa kazi kubwa anayoifanya kutatua kero za wananchi.


IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA - 0754264203

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

Wasifu wa Kizza Besigye

Kizza Besigye ‘akamatwa’ tena Uganda

KATI YA WATOTO 7 WA HAYATI MAGUFULI ANAYEJULIKANA ZAIDI NI JESCA

AINA 10 ZA WANAWAKE AMBAO BIBLIA INAKUONYA UWAEPUKE

KIKOSI KILICHOITWA TAIFA STARS HIKI HAPA

UBORA UNAONEKANA: BENKI YA NMB YANG'ARA TUZO ZA EUROMONEY 2026

MAJANI YA MAPERA NA MATUMIZI YAKE YA KITIBA

WANAJESHI WAGOMA KWENDA IRAN KUPIGA

MCHIMBAJI MDOGO WA DHAHABU AFANYA MAKUBWA KWENYE HUDUMA ZA AFYA