Serikali kupitia Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji imekubali ombi la Mbunge wa Njombe Mjini, Deodatus Mwanyika la kutenga mkoani Njombe maeneo ya kiuchumi ya kujenga viwanda vya kuongeza thamani ya mazao ya misitu na parachichi. Ahadi hiyo imetolewa na Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji, Dkt. Steven Chaya alipokuwa akijibu maswali ya Mwanyika wakati wa kipindi cha maswali na majibu bungeni Dodoma Aprili 20, 2026.IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA - 0754264203
Serikali kupitia Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji imekubali ombi la Mbunge wa Njombe Mjini, Deodatus Mwanyika la kutenga mkoani Njombe maeneo ya kiuchumi ya kujenga viwanda vya kuongeza thamani ya mazao ya misitu na parachichi. Ahadi hiyo imetolewa na Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji, Dkt. Steven Chaya alipokuwa akijibu maswali ya Mwanyika wakati wa kipindi cha maswali na majibu bungeni Dodoma Aprili 20, 2026.IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA - 0754264203

Comments