WANAWAKE WASHIRIKISHWE KIKAMILIFU, UUNDWE MFUKO DHAMANA YA MIKOPO KWA WANAWAKE - DKT. MAJULE

Mbunge wa Viti Maalumu ambaye pia ni Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake (UWT) Mkoa wa Dodoma, Dkt. Neema Majule ameishauri Serikali kuwashirikisha wanawake katika kupanga mipango, kusimamia na kufanya Tathmini ya miradi mbalimbali ya maendeleo. Pia ameomba uundwe mfuko maalumu utakaosimama kama dhamana ya kuwapatia mikopo wanawake kwa ajili ya mitaji ya kuanzisha miradi mbalimbali itakayo wakwamua kiuchumi. Pamoja na mambo mengine, Dkt.Majule ameyasema hayo alipokuwa akichangia mjadala wa makadirio ya Bajeti ya Ofisi ya Waziri Mkuu, bungeni Dodoma Aprili 10, 2026.







Dkt. Majule akipongezwa na wabunge wenzie.


IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA - 0754264203

 

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

Wasifu wa Kizza Besigye

Kizza Besigye ‘akamatwa’ tena Uganda

KATI YA WATOTO 7 WA HAYATI MAGUFULI ANAYEJULIKANA ZAIDI NI JESCA

KIKOSI KILICHOITWA TAIFA STARS HIKI HAPA

AINA 10 ZA WANAWAKE AMBAO BIBLIA INAKUONYA UWAEPUKE

UBORA UNAONEKANA: BENKI YA NMB YANG'ARA TUZO ZA EUROMONEY 2026

MAJANI YA MAPERA NA MATUMIZI YAKE YA KITIBA

WANAJESHI WAGOMA KWENDA IRAN KUPIGA

MCHIMBAJI MDOGO WA DHAHABU AFANYA MAKUBWA KWENYE HUDUMA ZA AFYA