Katika kipindi cha Julai 2025 hadi Machi 2026, abiria waliotumia usafiri wa anga waliongezeka na kufikia abiria Milioni 6.81 ikilinganishwa na abiria Milioni 6.037 katika kipindi kama hicho cha mwaka wa fedha 2024/25, sawa na ongezeko la asilimia 12.63.
Kwa upande wa mizigo kati
ka kipindi hicho, jumla ya tani 34,750.2 zilisafirishwa ndani na nje ya nchi, ikilinganishwa na tani 33,112.5 zilizosafirishwa ndani na nje ya nchi katika kipindi kama hicho mwaka 2024/25.
Comments