Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Dodoma, ambaye pia ni Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake wa CCM (UWT) wa mkoa huo, Neema Majule ameishauri Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi kufanya jitihada za kuwamilikisha wanawake ardhi ili kuepusha migogoroya mirathi. Pia ameishauri Serikali kuweka ruzuku kwenye mabati na saruji ili wananchin wajenge nyumba za kisisa zitakazoendana na maendeleo makubwa ya nchi. Ametoa ushauri huo alipokuwa akichangia mjadala wa makadirio Bajeti ya Wizara hiyo kwa mwaka wa fedha wa 2026/2027 bungeni Dodoma Mei 29, 2026.IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA - 0754264203
Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Dodoma, ambaye pia ni Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake wa CCM (UWT) wa mkoa huo, Neema Majule ameishauri Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi kufanya jitihada za kuwamilikisha wanawake ardhi ili kuepusha migogoroya mirathi. Pia ameishauri Serikali kuweka ruzuku kwenye mabati na saruji ili wananchin wajenge nyumba za kisisa zitakazoendana na maendeleo makubwa ya nchi. Ametoa ushauri huo alipokuwa akichangia mjadala wa makadirio Bajeti ya Wizara hiyo kwa mwaka wa fedha wa 2026/2027 bungeni Dodoma Mei 29, 2026.IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA - 0754264203

Comments