ELIMU YA SAYANSI ITASAIDIA UKUAJI MKUBWA WA UCHUMI DIRA 2050 - PROF. MUHONGO


LEO BUNGENI DODOMA

(Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia)

Prof Sospeter Muhongo amechangia na kutoa ushauri wa sisi (Tanzania) kuwa na mfumo bora wa elimu unaoweka mkazo kwenye masomo ya sayansi.


Mbunge huyo wa Jimbo la Musoma Vijijini amesisitiza umuhimu wa elimu ya sayansi kwa ukuaji mkubwa wa uchumi wetu ndani ya Dira 2050.


Tafadhali msikilize Prof Muhongo kutoka kwenye CLIP/VIDEO iliyoambatanishwa hapa.


Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

Kizza Besigye ‘akamatwa’ tena Uganda

Wasifu wa Kizza Besigye

TANZIA;.KWA KHERI DADA YETU MPENDWA EDITHA, TASNIA IMEPATA PIGO

NATAKA TANZANIA, KENYE NA UGANDA IWE NCHI MOJA, ILI BAHARI YA HINDI IWE YETU SOTE - MUEVENI

RAIS SAMIA AWASILI IRINGA KWENDA MEI MOSI NJOMBE