Hivi ndivyo hali ilivyo kwenye Mkutano wa Hadhara wa kufunga Kampeni za Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika Kata ya Migori, Jimbo la Ismani, Mkoa wa Iringa leo tarehe 31 Mei, 2026.
Shukrani za pekee kwa wana-Migori wote waliojitokeza kwa wingi kuunga mkono maendeleo.
Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Ismani lililopo Wilaya ya Iringa Vijijini unaotarajiwa kufanyika kesho tarehe 1 Juni, 2026.
*Tukutane kwenye sanduku la kura!*





Comments