SHAMRASHAMRA ZA UFUNGAJI WA KAMPENI ZA CCM ISMANI


Hivi ndivyo hali ilivyo kwenye Mkutano wa Hadhara wa kufunga Kampeni za Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika Kata ya Migori, Jimbo la Ismani, Mkoa wa Iringa leo tarehe 31 Mei, 2026.

Shukrani za pekee kwa wana-Migori wote waliojitokeza kwa wingi kuunga mkono maendeleo. 

Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Ismani lililopo Wilaya ya Iringa Vijijini unaotarajiwa kufanyika kesho tarehe 1 Juni, 2026.

*Tukutane kwenye sanduku la kura!*







 

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

GSM ARIDHIA UJENZI WA UWANJA WA YANGA JANGWANI

WACHEZAJI YANGA WAGOMA KABISA KUFANYA MAZOEZI LEO, LWANDAMINA AIBUKA PEKE YAKE SHAMBA LA BIBI

IJUE HISTORIA YA PACOME ZOUZOUA

DKT. MAJULE AMFANYIA MAPOKEZI MAKUBWA BALOZI WA CHINA NCHINI

Kizza Besigye ‘akamatwa’ tena Uganda

Wasifu wa Kizza Besigye

HERSI KWENDA KUSOMA TENA CHUO KIKUU CHA OXFORD UINGEREZA