WAZIRI KABUDI ATOA MSIMAMO WA SERIKALI KUHUSU BANGI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Uratibu, Bunge na watu wenye ulemavu), pRofesa Paramagamba Kabudi amesema kuwa kwa mujibu wa sheria za nchi kisheria hairuhusiwi matumizi ya aina yoyote ya bangi kama vile dawa, chakula. Ameyasema hayo alipokuwa akijibu maswali ya wanahabari katika mkutano alipokuwa akitoa taarifa ya Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya kuhusu hali ya dawa za kulevya nchini ya mwaka 2025 iliyowasilishwa bungeni leo Mei 29, 2026.






 

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

GSM ARIDHIA UJENZI WA UWANJA WA YANGA JANGWANI

Wasifu wa Kizza Besigye

Kizza Besigye ‘akamatwa’ tena Uganda

WACHEZAJI YANGA WAGOMA KABISA KUFANYA MAZOEZI LEO, LWANDAMINA AIBUKA PEKE YAKE SHAMBA LA BIBI

IJUE HISTORIA YA PACOME ZOUZOUA

DKT. MAJULE AMFANYIA MAPOKEZI MAKUBWA BALOZI WA CHINA NCHINI

HERSI KWENDA KUSOMA TENA CHUO KIKUU CHA OXFORD UINGEREZA