Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Dodoma na Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake Tbanzania(UWT) wa mkoa huo, Dkt. Neema Majule ameishauri serikali kuanzisha mafunzo ya kuwaelimisha wanawake kuhusu alama za biashara ili wawe na uelewa zaidi.
Ameyasema hayo wakati wa kipindi cha maswali na majibu bungeni Dodoma Juni 5, 2026 na kujibiwa na Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara, Denis Londo..

Comments