Rais wa Namibia,Dkt. Netumbo Nandi-Ndaitwah Nandi akiweka mashada ya maua kwenye makaburi ya wapigania ukombozi wa nchi hiyo alipozuru makaburi hayo wilayani Kongwa wakati wa ziara yake nchini, Juni 21, 2026.
Wakati wa ziara hiyo aliyoambatana na Mwenyeji Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge na Uratibu, Prof. Paramagamba Kabudi alitembelea pia Kambi iliyokuwa ya Wapigania Ukombozi wa Afrika na kuweka jiwe la Msingi kwenye kiwanja patakapojengwa ubalozi wa nchi hiyo hapa nchini katika Mji wa Serikali Mtumba, jijini Dodoma.
IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA - 0754264203




Comments