Mjumbe wa Kamati ya Utekelezaji ya Baraza Kuu la UVCCM Taifa,Ridhiwani Kikwete akimkabidhi
cheti Mjumbe wa Kamati ya Utekelezaji ya ya Baraza la Umoja wa Vijana Mkoa wa Lindi, Salma Kibwana baada ya kushiriki katika kambi ya maandalizi ya Uchaguzi Mkuu 2010 wilayani
Kilwa.vyeti hivyo vilitolewa pia kwa vijana wengine walioshiriki kambi hiyo katika mkutano
wa vijana wa CCM, Kiwalala jimbo la Mtama jana.
cheti Mjumbe wa Kamati ya Utekelezaji ya ya Baraza la Umoja wa Vijana Mkoa wa Lindi, Salma Kibwana baada ya kushiriki katika kambi ya maandalizi ya Uchaguzi Mkuu 2010 wilayani
Kilwa.vyeti hivyo vilitolewa pia kwa vijana wengine walioshiriki kambi hiyo katika mkutano
wa vijana wa CCM, Kiwalala jimbo la Mtama jana.
Comments