Mjumbe wa Kamati ya Utekelezaji wa Baraza Kuu la

Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM),

Ridhiwani Kikwete (kushoto), akimkabidhi Mwenyekiti

wa zamani wa Umoja huo, ambaye ni Mgombea ubunge wa

Jimbo la Kikwajuni Zanzibar kupitia CCM, Hamad

Masauni Yusufu sh. 1,000,000 zilizotolewa na UVCCM

kwa ajili ya kusaidia kampeni zake. Hafla hiyo

ilifanyika nyumbani kwa babake Masauni, Unguja jana.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

GSM ARIDHIA UJENZI WA UWANJA WA YANGA JANGWANI

WACHEZAJI YANGA WAGOMA KABISA KUFANYA MAZOEZI LEO, LWANDAMINA AIBUKA PEKE YAKE SHAMBA LA BIBI

DKT. MAJULE AMFANYIA MAPOKEZI MAKUBWA BALOZI WA CHINA NCHINI

IJUE HISTORIA YA PACOME ZOUZOUA

Kizza Besigye ‘akamatwa’ tena Uganda

Wasifu wa Kizza Besigye

HERSI KWENDA KUSOMA TENA CHUO KIKUU CHA OXFORD UINGEREZA