Mjumbe wa Kamati ya Utekelezaji wa Baraza Kuu la

Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM),

Ridhiwani Kikwete (kushoto), akimkabidhi Mwenyekiti

wa zamani wa Umoja huo, ambaye ni Mgombea ubunge wa

Jimbo la Kikwajuni Zanzibar kupitia CCM, Hamad

Masauni Yusufu sh. 1,000,000 zilizotolewa na UVCCM

kwa ajili ya kusaidia kampeni zake. Hafla hiyo

ilifanyika nyumbani kwa babake Masauni, Unguja jana.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.

DK NCHIMBI ATINGA MKOANI KATAVI