RIDHIWANI ATUZWA UKONGA

Mjumbe wa Kamati ya Utekelezaji ya Baraza Kuu la Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Taifa, Ridhiwani Kikwete (katikati), akionesha hati aliyokabidhiwa  na UVCCM Wilaya ya Ilala, kumpongeza kwa kutambua mchango wake kwa UV CCM, wakati wa mkutano wa kampeni za kupanga mikakati ya ushindi kwa CCM, katika Kata ya Kitunda, Jimbo la Ukonga, Dar es Salaam juzi. Kulia ni Katibu wa UVCCM Mkoa wa Dar es Salaam, Omari Ng'wanang'walu na Mwenyekiti wa UVCCM Wilaya ya Ilala, Alfred Tukiko. (PICHA NA RICHARD MWAIKENDA)

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

GSM ARIDHIA UJENZI WA UWANJA WA YANGA JANGWANI

WACHEZAJI YANGA WAGOMA KABISA KUFANYA MAZOEZI LEO, LWANDAMINA AIBUKA PEKE YAKE SHAMBA LA BIBI

DKT. MAJULE AMFANYIA MAPOKEZI MAKUBWA BALOZI WA CHINA NCHINI

IJUE HISTORIA YA PACOME ZOUZOUA

Kizza Besigye ‘akamatwa’ tena Uganda

Wasifu wa Kizza Besigye

HERSI KWENDA KUSOMA TENA CHUO KIKUU CHA OXFORD UINGEREZA