FARIJALA ATWAA ZAWADI YA MILIONI 10 ZA TIGO

Ofisa Uhusiano wa Tigo, Jackson Mmbando (kulia) akikabidhi zawadi ya
hundi ya shs milioni 10 kwa mshindi wa jumla wa promosheni ya Dunia ya
Washindi, Farijala Athumani Iddi mkazi wa Singida, katika makabidhiano
yaliyofanyika jijini Dar es Salaam jana. Katikati ni Meneja Miradi wa
Huduma za Ziada (VAS) wa Tigo, Suleiman Bushagama.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.

DK NCHIMBI ATINGA MKOANI KATAVI