FARIJALA ATWAA ZAWADI YA MILIONI 10 ZA TIGO

Ofisa Uhusiano wa Tigo, Jackson Mmbando (kulia) akikabidhi zawadi ya
hundi ya shs milioni 10 kwa mshindi wa jumla wa promosheni ya Dunia ya
Washindi, Farijala Athumani Iddi mkazi wa Singida, katika makabidhiano
yaliyofanyika jijini Dar es Salaam jana. Katikati ni Meneja Miradi wa
Huduma za Ziada (VAS) wa Tigo, Suleiman Bushagama.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

GSM ARIDHIA UJENZI WA UWANJA WA YANGA JANGWANI

WACHEZAJI YANGA WAGOMA KABISA KUFANYA MAZOEZI LEO, LWANDAMINA AIBUKA PEKE YAKE SHAMBA LA BIBI

DKT. MAJULE AMFANYIA MAPOKEZI MAKUBWA BALOZI WA CHINA NCHINI

IJUE HISTORIA YA PACOME ZOUZOUA

Kizza Besigye ‘akamatwa’ tena Uganda

Wasifu wa Kizza Besigye

HERSI KWENDA KUSOMA TENA CHUO KIKUU CHA OXFORD UINGEREZA