KUMBUKUMBU

Marehemu Col.Godfrey Kajana Makaya
Tunakupenda sana na tunajua upo nasi kiroho mpaka mwisho.
Unakumbukwa na watoto wako, wake zako, na ndugu, jamaa, na marafiki.
Upumzike kwa amani, GK
Leo tarehe 30 November umetimiza miaka mitatu toka ututoke baba mpendwa. Tunakukumbuka sana kanali.

Comments

Unknown said…
Asante Mwaikenda kwa kurusha kumbukumbu hii. Tunamkumbuka sana mzee.
Makaya Elias G.
USA

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.

DK NCHIMBI ATINGA MKOANI KATAVI