Rais Jakaya Kikwete akipiga makofi mbele ya kombe la Tusker CECAFA
Challenge Cup 2010 mara baada ya kuzindua rasmi michuano hiyo kwenye
uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam leo,wengine kutoka kulia
mwenyekiti wa Kamati ya maandalizi ya CECAFA, Waziri wa Habari Vijana
Utamaduni na Michezo Dk. Emmanuel Nchimbi, Mkurugenzi Mtendaji wa SBL
Richard Wells na kutoka kushoto ni Mkurugenzi wa Masoko SBL Caroline
Ndungu, Mkurugenzi wa Mahusiano SBL Teddy Mapunda pamoja na Rais wa TFF
Leodger Tenga.
Comments