Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mh. Anna Tibaijuka, (wa Pili kutoka kulia, waliokaai) akiwa pamoja na Waziri aliyemaliza muda wake Mh. John Chiligati (kulia kwake), wakurugenzi na wakuu wa Vitengo, baada ya makabidhiano ya ofisi. Wengine (waliokaa) ni Naibu Waziri wa Wizara Hiyo Mh. Goodluck Ole Medeye (kulia kwa Mh. Chiligati), Katibu Mkuu Bw. Patrick Rutabanzibwa (wa kwanza kulia) na Naibu Katibu Mkuu Bibi Maria Bilia ( wa kwanza kushoto)

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

GSM ARIDHIA UJENZI WA UWANJA WA YANGA JANGWANI

WACHEZAJI YANGA WAGOMA KABISA KUFANYA MAZOEZI LEO, LWANDAMINA AIBUKA PEKE YAKE SHAMBA LA BIBI

DKT. MAJULE AMFANYIA MAPOKEZI MAKUBWA BALOZI WA CHINA NCHINI

IJUE HISTORIA YA PACOME ZOUZOUA

Kizza Besigye ‘akamatwa’ tena Uganda

Wasifu wa Kizza Besigye

HERSI KWENDA KUSOMA TENA CHUO KIKUU CHA OXFORD UINGEREZA