ATEMBEA KWA BAISKELI TOKA AFRIKA KUSINI HADI KILIMANJARO

1 & 2. Bw. Richard Goodhead ambaye amekimbia kwa miguu kutoka Cape Town Afrika Kusini mpaka Moshi akiwasili kwenye hoteli ya Keys kwa ajili ya kujiandikisha kushiriki mbio ndefu za kilomita 42 za Kilimanjaro Marathon zitakazofanyika kesho Moshi mjini. Richard alianza safari tarehe moja Oktoba mwaka jana na safari yake imetumia muda wa miezi mitano na nusu.
 


6. Bw. Richard Goodhead ambaye amekimbia kwa miguu kutoka Cape Town Afrika Kusini mpaka Moshi akijiandikisha kushiriki mbio ndefu za kilomita 42 za Kilimanjaro Marathon zitakazofanyika kesho Moshi mjini muda mfupi baada ya kuwasili Moshi mjini. Richard alianza safari tarehe moja Oktoba mwaka jana na safari yake imetumia muda wa miezi mitano na nusu.
 

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.

DK NCHIMBI ATINGA MKOANI KATAVI