|
Naibu Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF), Khamis Mdee (kushoto), akimkabidhi Mkurugenzi wa Fedha na Ugavi wa Taasisi ya Tiba ya Mifupa Muhimbili (MOI), Philemon Felix msaada wa dawa mbalimbali zenye thamani ya sh. milioni 2.2 na mashuka 100 kwa ajili ya waathirika wa mabomu ya Gongo la Mboto waliolazwa MOI. Wanaoshuhudia makakabidhiano hayo yaliyofanyika katika Taasisi hiyo jana, ni Meneja Uhusiano wa MOI, Jumaa Almas na Meneja wa NHIF, Luhende Singu. (PICHA NA RICHARD MWAIKENDA) |
Naibu Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF), Khamis Mdee (kushoto), akimkabidhi Mkurugenzi wa Fedha na Ugavi wa Taasisi ya Tiba ya Mifupa Muhimbili (MOI), Philemon Felix msaada wa dawa mbalimbali zenye thamani ya sh. milioni 2.2 na mashuka 100 kwa ajili ya waathirika wa mabomu ya Gongo la Mboto waliolazwa MOI. Wanaoshuhudia makakabidhiano hayo ni wafanyakazi wa NHIF na MOI.
|
Mfanyakazi wa NHIF akipakua msaada huo |
Comments