Baadhi ya washiriki wa Semina Elekezi kwa Viongozi na Watendaji Wakuu wa Serikali,wakiwa nje ya ukumbi wa St Gasper mjini Dodoma, baada Rais Jakaya Kikwete kufungua semina hiyo.,
Mwenyekiti wa Baraza la Kilimo Tanzania, Salum Shamte (kushoto) akiteta jambo na Kamishna Mkuu wa TRA, Harry Kitilya wakati wa semina hiyo.
Mwenyekiti wa Baraza la Kilimo Tanzania, Salum Shamte (kushoto) akiteta jambo na Kamishna Mkuu wa TRA, Harry Kitilya wakati wa semina hiyo.
Mkurugenzi wa Usalama wa Taifa,Rashid Othman (wa pili kushoto), akizungumza na Waziri wa Habari, Vijana na Michezo, Emmanuel Nchimbi huku Mkuu wa Majeshi, Jenerali Davis Mwamunyange (kushoto) na Mkuu wa Jeshi la Polisi, Said Mwema wakiwasikiliza.
Comments