Naibu katibu mkuu wa Chadema Taifa Zitto Kabwe (kulia) akiteta jambo na katibu mkuu wa CCM Taifa Wilson MKama jana wakati wakisubiri Rais Jakaya Kikwete kuwasili kijiji cha Yakobi Njombe kwa ajili ya kuwawakilisha watanzania katika mazishi ya mama mzazi wa spika Anne Makinda. Picha Na Francis Godwin na Prosper Minja,Yakobi-Njombe-Bunge
Email This BlogThis! Share to Twitter Share to Facebook Share to Google Buzz
Rais Jakaya Kikwete akichota mchanga tayari kwa kuuweka katika kaburi la marehemu Mama Tulakela Samnyuha, mama wa Spika wa Bunge, Anne Makinda wakati wa maziko ya mama huyo katika Kijiji cha Yakobi, wilayani Njombe mkoani Iringa. Katikati ni mke wa Rais, Mama Salma Kikwete
Msemaji mkuu wa kambi ya upinzani bungeni Freeman Mbowe ambaye ni mwenyekiti wa Taifa wa Chadema akiweka shada la maua katika kaburi la mama mzazi wa spika wa bunge Anne Makinda marehemu Tulakela Semnyuha aliyezikwa jana kijijini kwake Yakobi Njombe
Msemaji mkuu wa kambi ya upinzani bungeni Freeman Mbowe ambaye ni mwenyekiti wa Taifa wa Chadema akiweka shada la maua katika kaburi la mama mzazi wa spika wa bunge Anne Makinda marehemu Tulakela Semnyuha aliyezikwa jana kijijini kwake Yakobi Njombe
Comments