Baadhi ya waandishi wa habari kutoka vyombo mbalimbali wakijadiliana mambo nje ya ukumbi wa St Gaspar,mjini Dodoma, ambamo semina elekezi kwa viongozi na watendaji wakuu wa Serikali inafanyika.Katikati ni ni Bonge wa Clouds Radio.
Mpiga Picha Mkuu wa gazeti la Jambo Leo, ambaye pia ni mtayarishaji wa Blogu hii, Richard Mwaikenda, akipima afya yake huduma inayotolewa bure kwenye semina hiyo.
Mwandiishi wa gazeti la Jambo Leo, Said Mwishehe anayeripoti semina hiyo, naye akipimwa afya yake.
Mpiga Picha Mkuu wa gazeti la Jambo Leo, ambaye pia ni mtayarishaji wa Blogu hii, Richard Mwaikenda, akipima afya yake huduma inayotolewa bure kwenye semina hiyo.
Mwandiishi wa gazeti la Jambo Leo, Said Mwishehe anayeripoti semina hiyo, naye akipimwa afya yake.
Comments