MASHINDANO YA KWAYA YA WAFUNGWA AFRIKA KUSINI

Zaidi ya wa wafungwa 600 katika magereza mbalimbali nchini Afrika Kusini wanashiriki katika mashindano ya kwaya ya mwaka huu, ambayo lengo lake ni kujifunza kupitia sanaa. Wafungwa hawa wanatumikia vifungo virefu na vifupi kwa makosa mbalimbali. Wafungwa hao watashiriki baadaye mwaka huu katika mashindano ya kitaifa ya kwaya.


Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.